Siirry suoraan sisältöön
Kuwa Tofauti Si Ujinga Wala Si Ubaya
Tallenna

Kuwa Tofauti Si Ujinga Wala Si Ubaya

Kirjailija:
pokkari, 2022
Swahili

Maelezo ya Kitabu

Chuaro alilelewa katika eneo la mji wa Johannesburg nchini Afrika Kusini. Kwa masomo yake ya shule ya upili, alihudhuria shule ya bweni katika kijji cha Transkei ambapo watu waliishi maisha ya kizamani. Yeye na marafiki zake walifikiri wasichana katika maeneo hayo ya mashambani walikuwa wajinga kwa sababu hawakuvaa kama wao na walisumbuka zaidi kwamba wasichana hawakufunika matiti yao. Jumamosi moja alasiri walipokuwa wakitembea, walikutana na wasichana wa mashambani na kuwauliza kwa nini hawakuvaa sidiria au blauzi. Wakati huohuo, wasichana wa jiji walijifunza kwa njia ngumu kwamba hawa wasichana wa vijijini walikuwa na akili sana, na kuwafanya watilie shaka akili zao wenyewe.

Alaotsikko
Kisa kutoka Afrika ya Kusini
Kirjailija
Grace Zuzo
ISBN
9781088080870
Kieli
Swahili
Paino
104 grammaa
Julkaisupäivä
21.12.2022
Kustantaja
IngramSpark
Sivumäärä
42