Siirry suoraan sisältöön
Fasihi na Ulemavu
Tallenna

Fasihi na Ulemavu

pokkari, 2013
Swahili
Fasihi na Ulemavu: Uchambuzi wa Methali za Kiswahili ni kitabu kinachochambua methali za Kiswahili zenye kutaja ulemavu. Je ni ulemavu wa aina gani unaotajwa katika methali hizo? Kwa nini utajwe ulemavu huo na sio mwingine? Kwa nini aina fulani ya ulemavu inajitokeza zaidi ikilinganishwa na aina zingine za ulemavu? Soma kitabu hiki ufahamu majibu ya maswali haya.
Alaotsikko
Uchambuzi wa Methali za Kiswahili
ISBN
9781300841739
Kieli
Swahili
Paino
145 grammaa
Julkaisupäivä
15.3.2013
Kustantaja
Lulu.com
Sivumäärä
52